azam ina watu makini,wenye fikra endelevu. sio akina manji wanaingia kwenye mpira ili kuifunga simba. lakini akifungwa wanafukuza kocha. na bench lote ufundi. wafuate nyayo za S S BHAKRESA. AZAM JUU!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.