Recent content by kahil

  1. kahil

    JamiiForums Tanzania CHADEMA iliyoshindwa kujifanyia mageuzi inatuaminishaje tukiwapa nchi watafanya mageuzi?

    Mimi nimependa hoja yako ya kwamba CCM kama mkoloni kwa upande wako unaona hajaleta mageuzi yoyote ktk nchi hii,kiasi kwamba kama ataondolewa akapewa mwingine anaweza kuyaleta mageuzi hayo. Naomba kufahamu una maanisha mageuzi ya namna gani hasa?
  2. kahil

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wamesema hawatoshiriki katika uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe

    Mwanawao:kwani waliposhiriki uchaguzi mkuu mwaka jana walisukumwa na nini?walisema kwanini wanashiriki?na ni kipi ambacho kimebadilika leo? Just a curious !!
Back
Top Bottom