Hata marehem mtikila slishaeleza kagame kapenyeza watu elfu35 wakampuhuza kalibu nusu ya wanajeshi ni wanyalwa wajumbe wa neki ya ccm wamejaa baazi ya mawaziri na tahasisi nyeti wamejaa alafu leo mnajitapa kuwa mnauwezo wa kpigana na RWANDA nchi ilishatekwa siku nyingi matanzania yamekalia yanga...
Washindwa kuombea ndugu na familia zao zilizo kwenye lindi la ufukala na kuwalilia na kuwaombea ndugu zao walio tangulia mbele za haki ebu jaribu kuwa na akili
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Anatosha kwa wajinga na wapumbavu kama wewe msiojitambua hata biblia inasema amkanaye mzazi wake amelaaniwa nyinyi tayari laana inatembea mpaka kwenye vizazi vyenu saba kwa ajili ya kuhangaikia tumbo badala ya kumtukuza mungu unahangaikia mtu.
Na yule haliyetukana watanzania wote ni malofa masikini wakati huohuo anishi kwa kodi za masikini na malofa yeye halichukuliwa hatua gani
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Kama kipindi kile walinunua rada mtumba ndio useme tuna wataam hao ni wanyanyua vitu vizito siyo makomando kama marehem Tamim
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Ni kweli na hayo wanayojidai kukanusha ndio yanafanyika na wanahadikisha mpaka wanafunzi kibaya zaidi ni kule kulazimisha walim na waganga wa vijijini na kata zote kuwa na kadi za CCM hakikataa atabambikiwa tuhuma ili asimamishwe kazi
Sawa kama hajawahi kuua hao wanaotekwa na kuuliwa ni wa nchi ngani na kiongozi wa hiyo nchi ninani sababu viongozi wa nchi za kiafrika ndio wauhaji namba moja
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Ccm ahijawai kuchagua mwenyekiti nyerere mpaka alipo ondoka madalakani kwa kubanwa na WB na IMF hakuna demoklasia ndani ya ccm kweli nyani ahoni kundule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.