Kwani haiwezekani kuwa hao wahamiaji haramu walikufa kwa msongamano hivyo hao wasafirishaji haramu wakaamua kuwafunga mawe na kuwatupa ili kupoteza ushahidi? Tusikimbilie mahitimisho bila kuangalia kwa mapana
Ni vema kila Mtanzania akatambulika kwa mchango wake kwa Taifa. Mambo ya kutambuana kwa walioyafanya baba na babu zetu na kisha tukapewa upendeleo ni dalili za Usulutani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.