Recent content by kadunga

  1. K

    Jinsi ya kupata Proof of Residence

    Shukurani kwanza Shukrani kaka ngoja nifike officie zao nitaleta mrejesho Kuhusus paragraph ya pili ni maoni yako na kiwango chako cha kufikiri , natumai ipo ck utatoka kwenye huo utoto
  2. K

    Jinsi ya kupata Proof of Residence

    Habari wana Jf Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza Siku za hivi karibuni freelancer . com wamedili sera zao ku withrawal fedha kwa njia ya Bank mpaka ufanye Address verification MNimejaribu kutumia option ya bank statement Ya CRDB unfortunately wameikataa Kutokana na uhalisisa kua Format...
  3. K

    Natafuta Co-Founder wa mfumo wa Kisasa wa booking kwa usafiri wa SGR (Train Booking App)

    Habari wana JF, Mimi ni software engineer mwenye uzoefu, na nina ham kubwa ya kuingia kwenye ujasiriamali wa kiteknolojia – hususan kutengeneza mifumo inayotatua changamoto kwenye jamii yetu. Miezi michache iliyopita nilisafiri kwa mara ya kwanza kwa kutumia SGR, na kwa kweli experience...
  4. K

    Natafuta Furnished 1 bedroom Kwa 450k Dar es Salaam

    Sehem yoyote olio jaribu na Huduma ya mwendo kasi
  5. K

    Natafuta Furnished 1 bedroom Kwa 450k Dar es Salaam

    Natanguliza salam kwenu Wana jukwaa. Kama kichwa kinavyojieleza, nitakua na KAZI ya mwezi mzima hapa Dar es Salaam natafuta Furnished 1 bed room. Natafuta budget yangu ni 450k. Kama kuna MTU anaweza nisaidia nitashkuru sana
  6. K

    Jinsi nilivyo pata offer ya kazi kwa kampun ya kimarekan as a software engineer

    Muone daktar wako haraka mkuu (ugonjwa wa akili ni tatizo kubwa)
  7. K

    Jinsi nilivyo pata offer ya kazi kwa kampun ya kimarekan as a software engineer

    Ooh kweli natumia sim ya zaman hahah nitalifanyia kazi
  8. K

    Jinsi nilivyo pata offer ya kazi kwa kampun ya kimarekan as a software engineer

    Unaweza kujifunza kuanzia Sasa Kuna platforms nyingi mtandaon zinazotoa taaluma. Unaweza kuanzia scrimba ni nzurii mnoo
  9. K

    Jinsi nilivyo pata offer ya kazi kwa kampun ya kimarekan as a software engineer

    NB: Lengo la hii thread ni kuhabarisha (Sitoi huduma yoyote Pm) Salaam kwenu wakuu weekend ya leo wametukatia umeme huku napo ishi nimeona ni vyema niwashirikishe hili Mnisamehe kwa Uandishi wa hovyo me so muandishi mzuri Mimi ni kijana wa miaka 23 mtanzania, 2022 ulikua mwaka mzuri sana...
  10. K

    Nimepata nafasi ya kwenda Ufaransa

    Ahsantee mkuu Nimepata pakuanzia kuhus pass ndio tyr nimewakilisha zote zinazohitajika Kuhusu health insrnce inabidi niandae km $$ ngapi ? na je kuna njia ya kulupia hio insrance au una safri na cash??
Back
Top Bottom