Recent content by Kadomwinyo

  1. K

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na genge lake ni Wana mapinduzi waliobobea. Wanachofanya sasa ni Character assassination na kuchochea vijana

    Watu wanapenda kusikia kile wanachopenda wao au kile ambacho wanaona kinawabeba kwa upande wao. Mkuu simamia hapo hapo na endelea kupiga kotekote bila kuonesha upande. Wenye siasa zao wataendelee kulia na kufurahi kwa zamu.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Iwambi siyo kwa kujenga nyumba! Nyumba kubwa hata milion 15 nimekosa

    Hiyo nyumba ni ya tofari Mbichi, kuchoma au za Saruji na Mchanga? Pia kiwanja chako kina ukubwa gani wa Mita za Mraba? Vile vile hiyo Iwambi unayoisemea weye ni Block, E, F, G au Miyomboni? Kama hiyo nyumba ipo vizuri na ipo Block E,F na G na hainunuliki basi itakuwa na shida nyingine. Kwa...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Rais Nyerere na Magufuli Walikataa, Rais Samia Usikubali Nchi Yoyote Kuingilia Sovereignty Yetu, Iwe ni US, UK or EU!, Kwani Marekani Ndio Nani, Nini?

    Kuna msemo "beggars cannot be choosers" kumaanisha ukiwa omba omba, huwezi kuchagua usaidiwe na nani na usaidiwe nini, wewe kazi yako ni kutembeza tuu bakuli kuomba tuu, chochote utakachopewa au kusaidiwa unapokea na kazi yako ni kusema tuu "hewala*, " asante". Hivyo Tanzania as beggars as we...
  4. K

    JamiiForums Tanzania PNA: Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba ni Mkweli Kama Nyerere, Namuunga Mkono Kauli ya Vibaraka Wapumbavu, Tusiishie Kuwasema Tuu, Je Tuwataje Tuwajue Au?

    Shida tulio wengi ni wavivu kusoma makala ndefu za Mkongwe huyu. Ukiisoma makala hii yote kama mkuu ulivyosoma Paskali kama kawaida yake kapiga bonge la dongo kwa Madelu. Wasomaji wanapaswa kurejea tu pale anaposema Nyerere alikuwa anazungumza na kile alichokuwa akikisema au kukizungumza...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Swali kwa Peter Msigwa: Kama ungekuwa Mkuu wa Mkoa au Wilaya ungerudi CHADEMA?

    Hawa ni aina ya watu ambao hawana shughuli nyingine za kuwaingizia kipato zaidi ya siasa. Huwezi kumweka katika kundi la watu wenye fikra za kumkomboa mwananchi wa kawaida dhidi ya Serikali nyonyaji na vandalizing. Huyu ni mchumia tumbo. Aliahidi kuzunguka nchi nzima kuisema Vibaya CHADEMA na...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Karibu sana Peter Msigwa, Roho yako ni Hai kwa CHADEMA, ila Mwili ndio Ulikua Dhaifu! Akili, Uwezo, Ubunifu, Busara zako sio za kukaa CCM, Pole sana!!

    Umenena vema sana. Though jamaa kamfungulia nyuzi kadhaa kumpamba huyu Msigwa aliyekosa fursa zilizompeleka kule. Huyu angekula teuzi na kupewa hadhi kule kijani asingekuja na hizi porojo za kurejea tena CHADEMA.
  7. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole, Asante kwa ukweli wako kuhusu kiini macho cha Uchaguzi. Hoja ya tusishiriki, haina tija tena na Uchaguzi Upo!

    Umeeleweka vema sana kwa wachache ila wakirudia kusoma na kutafakari kwa kina watakuelewa wengi.
  8. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Samia mitano tena sio kwasababu ni Mwanamke! Ni kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke katika Uongozi

    Mada yako inahitaji great thinkers wanaosoma na kuelewa maudhui ya kile ulichokiandika. Wengi wetu tumesoma tu kichwa cha habari na kuanza kutukana. Kama wangesoma na kuelewa ulichokiandika kwakweli ungepata sifa lukuki. Tatizo letu hatusomi na tunapenda nyuzi nyepesi nyepesi ambazo haziumizi...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

    Inafikirisha sana, nasubiri nondo zako mkuu.
Back
Top Bottom