Tabora mji tuna hangaika kwa ukosefu wa maji safi, mamlaka haina lolote inafanya kuondoa kero hii tuna maliza mwezi mmoja na nusu sasa.
Hawasemi kama kuna shida, hawataoi rai yoyote, ila bili zinakuja tu na ni gharama kubwa wakati maji hayaja toka kwa mwezi wote toka July huko.
Ebu wahusika...
Nina kero hii kutoka hapa Tabora Mjini. Tunakaribia mwezi mmoja na nusu sasa hatuna maji safi, na hakuna sauti yoyote kutoka kwa mamlaka husika. Hawana hata samahani wala taarifa yoyote kwamba kuna mgao wa maji.
Athari kwa wakazi ni pamoja na:
Kukosa maji kwa matumizi ya kawaida ya nyumbani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.