Habari za asubuhi ndugu zangu,
"Naitaji kujiunga na open university (OUT) Sasa nimeambiwa nika hakiki vyetu vyangu NACTE kupitia website yao nikiingia kweny hiyo website Sioni mahara hakuhakiki mwenye uelewa na hili jambo naomba anisaidie.
Habari za wakati huu.
Kwa yoyote anaeweza kunipa elimu kidogo ya Soko la Hisa Dar es Salaam jinsi yakununua hisa na namna unavyo pata faida au hasara.
======
Unashauriwa kusoma>>>
UCHUMI: Hisa ni nini?
Maana ya soko la hisa na sababu za kupanda na kushuka kwa bei za hisa
Uwekezaji katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.