Recent content by Kachiki1

  1. Kachiki1

    JamiiForums Tanzania Mpigie kura Rais Magufuli kwenye Forbes Africa Person of the year

    Kwa sababu raisi wetu mpendwa kavunja marekodi yoke hayo ndani ya wiki mojo, Na haijawahi kutokea hapa duniani, kwa nini tusijenge sanamu kubwa sana kupita zote duniani, na Kila siku kabla ya kazi tukaenda kuimba wimbo wa taifa. Umaarufu wake umemzidi hata Nyerere, mzee wetu Mwinyi, Mkapa Na...
  2. Kachiki1

    JamiiForums Tanzania Rais kufanana na hawa maana yake nini?

    Yaani kukubalika kwa Magufuli hata Baba wa Taifa Julius Nyerere hajamfikia, yaani hata mzee Ruksa, wala Mkapa wala Kikwete hamfikii raisi wetu mpendwa.. Na kwa vile kawazidi maraisi wote hao, kwa nini asiitwe baba wa taifa?? Au kwa nini tusichonge sanamu kubwa tuiweke pale Askari monument Dar...
  3. Kachiki1

    JamiiForums Tanzania Ndio maana alipoahidi kuweka vielelezo vyake hadharani ni miezi 6 sasa hajafanya hivyo?

    Kukumbushia kile JPM alichohaidi kuweka hadharani, wewe unashabikia Ben Saanane "adhibitiwe kwa nguvu yoyote lie kwani ni Audi wa Kiuchumi nakiusalama" kweli na akili zako unaweza kufikiri hao wanaodhibiti ni vilezer kiasi gain?? Kosa gani lips hapo.... au wewe ndio unaetaka watu wamchukie...
  4. Kachiki1

    JamiiForums Tanzania Ndio maana alipoahidi kuweka vielelezo vyake hadharani ni miezi 6 sasa hajafanya hivyo?

    Tuzidi kusubiri,bado hajarudi Dar. Kama mkimwona mkumbusheni apige simu tena au aweke tu vielelezo karika magazeti itatosha
  5. Kachiki1

    JamiiForums Tanzania Mwaka mmoja wa Rais Magufuli madarakani huu ndio mlo wangu wa kila siku!

    Bora hata wewe..ungeona ninachokula!!!!
Back
Top Bottom