Recent content by KABOYATU

  1. K

    JamiiForums Tanzania SoC03 "We! Mmmmhh ni wewe, hapana sio wewe ni wewe" alisikika rafiki wa maisha akimuita Naisha

    😂😂😂Hahaa!! Acha nicheke nifurahi, nikakumbuka hadithi ya "Nani amfunge paka kengele" niliyofundishwa na Mwl Ludao 😀 Mmhh, nyie! Acha kabsaa, ukiachilia mbali ile hadithi ya Mwl Kukome "Sizitaki mbichi hizi". Ukiachilia mbali maswali yangu niliyouliza kutojibiwa zaidi ya kuambiwa kua uyaone 😂...
  2. K

    JamiiForums Tanzania SoC03 Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo

    Habari ndugu msomaji: kwa upande wangu mimi ni buheri wa afya: leo nakutonya kidogo 😜kwambaliii,😂inanihusu mie mwenyewe! Wataka kujua🤩nk'onk'o!! Samahani ni ni kikohozi tu kilinibana ! Ok back to the point" namaanisha nimerudi tuzungumzie mambo lenyewe' nikiwa Darasa la tano miaka ile niliwaza...
  3. K

    JamiiForums Tanzania SoC03 Kipato cha kila siku ni kitendawili cha maisha

    Naam: Kiswali lugha adhimu iliyotukuka kwa semi za wahenga, nahau, methali, hadithi na vitendawili, Mmmh wataka kujua! nisikusimulie sana leo, kuna kitendawili kisemacho "Tega ni kutege" na jibu lake likawa " mwiba" Hahaaa😂 Sote twafahamu kuwa mwiba unachoma , wachoma wapi na saa ngapi? ajua...
Back
Top Bottom