Habarini wakuu!! Ni matumaini yangu kuwa mko salama na mnaendelea na ujenzi wataifa!
Kwa muda mrefu nimekuwa nikiamini hili jukwaa kuwa ni mahali sahihi kwa kupata elimu kuhusiana na vyombo vyetu vya moto lakini pia utatuzi wa changamoto tunazopata kwenye magari.
Gari yangu Toyota Verossa...
Jamani wakuu poleni na majukumu,nina gari yangu Verrosa yenye engine ya 1G VVTI kwa sasa imefika kama Km 200,000 imeanza kutoa moshi na inaonesha dalili za kula oil japo sio sana.
Naombeni kwanza kujua namna ya kurekebisha hilo tatizo
Pili inawezekana kufanya overhaul kwa engine hii?
Tatu...
Mkuu nashukuru sana mimi nipo mafinga Iringa kuna jamaa alifanya diagnosis akaniambia kuwa ni hiyo throttle position sensor! Wakati anafanya sikuwepo ndo maana nikaona nifanye verification huku kwenu wataalamu.
Asante mkuu
Wakati unaendesha ukikanyaga inaenda mpaka labda kwenye tatu then inashuka na gari kukosa nguvu, lakini ikiwa silence haivuki kwenye mbili inakuwa katikati ya moja na mbili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.