Recent content by kaberweye

  1. kaberweye

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwanaume atakaenioa kwa ndoa ya kanisani

    Sihitaji picha kuthibitisha nimevutika nazan tukiwasiliana tutambua na kujua kama nimekidhi vigezo vyako ila tambua kwa hicho cha umri nimekitmiza bila shaka
  2. kaberweye

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aliniambia ana PhD ila nikimtumia sms za kingereza hajibu

    Sio labda mjomba huyo dem ana PHD ya Kiswahili na kiligha chao. Tu ila wewe umeenda mbali mpka kutumia kimombo
  3. kaberweye

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume huwa na michepuko?

    Njaa inahitaji chakula kupungua amakuisha kwa mda huo but unabadilisha chakula kutokana hamu uliyo nayo ndio maana mtu leo nyama ya ngombe kesho mbuzi mara kitimoto au kondoo nyama ile ile but hamu imetaka ubadilishe tu Endeleea kuwachukia wanaume wao wataendelea kula chakula kwa kuwabadlisha
Back
Top Bottom