Recent content by Kabeji

  1. K

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    Hello naitwa jenipha Nimemaliza degreee ya uhasibu NATAFUTA kazi😭😭🙏🙏naombeni mnisaidie 0713776534
  2. K

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    Hello naitwa Jenipha Nimemaliza chuo kikuu cha Dar es Salaam Degree ya uhasibu. Natafuta kazi😭😭😭jaman nateseka. Naombeni msaada please 🙏
  3. K

    Napendaa mambo ya modeling sana na natamani nifike mbali lakini bado sijapata connection nzuri ili niweze kutimiza ndoto zangu

    Hello naitwa Jenipha napenda sana mambo ya modeling lakini Bado sijapata connection au njia rasmi ya kuweza kutimiza ndoto zangu nahitaji msaada wenu. 0713776534
  4. K

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    Hello Tanzania naitwa Jenipha, nimemaliza degree ya uhasibu chuo kikuu cha Dar es Salaam. NATAFUTA kazi🙏🙏0713776534 for normal calls and WhatsApp
  5. K

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie Habari wakuu, Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara(bachelor in accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za...
  6. K

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    Hello naitwa jenipha nimehitimu stashahada ya uhasibu chuo kikuu cha Dar es salaam piaa ni mjasiriamali natafuta kazi🙏🙏Watanzaniaa 0713776534 my WhatsApp number
  7. K

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    Habari Tanzania, Mimi ni mhitimu wa Bachelor degree,in Accounting. Nimemaliza chuo kikuu cha Dar es salaam Natafuta kazi pia ni content creator, kwa Mawasiliano zaidi jeniphalameck09@gmail.com Calls and WhatsApp 0713776534
  8. K

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    naona kuna shida nikituma pm zinagoma.plz ni pm wewe
  9. K

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    hii ishu private sana na haiusiani na shida yangu.asante kwa comment yako
  10. K

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    asante kwa ushauri nimeamua kuifuta maana naona wengi wanakuja na mada za mapenz hawapo kwa ajili ya kunisaidia
  11. K

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    Asante ndugu yangu Seawhale kwa kumtag INSIDER MAN naamini akiona ombi langu hili na kuguswa basi atanivuta mkono kama atakuwa na wasaa wa kufanya hivyo.
  12. K

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    Ha ha daahh hapana mkuu sijaja hapa kudanga haya ni maisha tu nimekuja kuomba msaada wa ajira kama una kaz plz nisaidie..
  13. K

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    Habari wakuu, Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu. Nipo hapa hapa Dar es Salaam...
Back
Top Bottom