Kama utahitaji mimi nina mabanda yanafaa kwa ufugaji wa kuku, unaweza kuyatumia kwenye hii project yako ukawa kama muwekezaji, maana mm bado sijaanza kuyatumia.
Habari wanajamii forum, naomba kujua mahali na mawasiliano ya sehem wanapouza cement Dangote kwa bei ya kiwandan, mm nipo mkuranga Pwani. Natanguliza shukran
Bei ya cement Dangote sh ngap kwa sasa? nahitaj miifuko 200 au zaid, kama unajua mahala gan naweza pata kwa bei nzuri zaid nitashukuru sana kama utashare details. Mimi nipo mkuranga. Nahitaj kupata kwa bei ya jumla au ile ya kiwandani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.