Bodi ya Mkopo Heslb inatupa wakati mgumu sana hasa wanafunzi tunaotokea familia ya vipato vya chini, maana wanafanya kazi kama wanavyojisikia wao Bali si kama wajibu wao wanafunzi tunalala njaa hatuna pesa.
Lakini pia kupata allocation inafanyika mapema lakini sasa pesa ya kujikimu inakuwa...
HESLB hawatutakii mema hata kidogo haiwezekani moaka leo hii mwezi umeisha lakini hamna pesa ya kujikimu mfano mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma nimefuatilia pesa lakini majibu ni kwamba tunapandisha kwa batch , kwa hiyo mkae tutawapandishia , inauuma sana mie wazazi hawana uwezo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.