Recent content by jzm-teak

  1. J

    Membe: Kama Magufuli Angekuwa Hai 'Nisingerudi' tena CCM

    Inawezekana alienda ACT kwa kazi maalum kama ni shushushu!
  2. J

    Nape Nnauye: Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi

    Ahaaaaaaaaaaa!!!, ALIKUWA JEMBE HUYU JAMAA, yaani mpakasasa hawaamini kama amekufa!! Duh!!ahaaaaaaaa! Kumbe waliumizwa sana! KITENDO CHA KUMSEMEA MWENYEZI MUNGU ETI AMEAMUA NI KUMKEBEI MWENYEZI MUNGU!, Mwenye akili asingefurahi kifo cha Magu!, Angepata funzo kwamba magereza ni ya watu wote!
  3. J

    Felchesmi Mramba: Bwawa la JNHPP ni mara 10 ya bwawa la Kidatu lililojengwa kwa miaka 5

    Hakuna cha ufuasi, hapa ni usimamizi na kukitumia vizuri kinachopatikana, akili zetu ni mgando na kuaminishwa kuwa vitu fulanifulani mpaka wajomba watusaidie
  4. J

    Felchesmi Mramba: Bwawa la JNHPP ni mara 10 ya bwawa la Kidatu lililojengwa kwa miaka 5

    Hapa mchezo huko hivi; pesa tuongeze kwenye mishahara na marupurupu mengine, pia tukamirishe miundo mingine ili tuoneka tunapiga kazi! Lakini kiukweli watu kufanya kazi kwa ajiri ya vizazi vijavyo hatuna mtizamo huo! Huyu anayesema bwawa dogo lilitengenezwa ndani ya miaka mitano, hili kubwa...
  5. J

    Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

    Mapenzi ni nini???!!!., what is love???! Hivi mapenzi yana formula?!! Hapa hapakuwepo na PENZI!
  6. J

    Hayati Magufuli alisitisha ongezeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa Bwawa la Nyerere

    Mwenzio kapewa tuzo kwa kukubali yule mtangulizi wake kama si yeye hata hiyo tuzo asingepata!, Soma gezeti la mwananchi la tarehe 26 Mei 2022
  7. J

    Kebehi dhidi ya Nyerere na Magufuli, ni ishara Watanzania wana uelewa mdogo. Viongozi hawa wajengewe kumbukizi

    Nyerere na JPM ni viongozi waliojali wananchi wake hasa wale waliokuwa wananchi wa kawaida!, Wezi na mafisadi ndo wanawatukana na wana uwelewa mdogo!, Mwenyezi Mungu awarehemu na walale mahali pema PEPONI, AMINA
  8. J

    Ujenzi barabara: Wabunge wamkumbuka Hayati Magufuli

    Wanaokaa Chato hawateseki tena!, Mwamba aliacha neema tele!
  9. J

    Hayati Magufuli alisitisha ongezeko la mishahara kwa sababu fedha zilielekezwa Bwawa la Nyerere

    Bado wewe unayejiita wa mjini unamkandia JPM? Hata Dar yenyewe kajitahidi kupunguza kero fulanufulani bado unamwita JPM alikuwa mshamba? Kweli wewe ni tatizo!
  10. J

    Ujenzi barabara: Wabunge wamkumbuka Hayati Magufuli

    Unateseka ukiwa wapi ndugu?
  11. J

    Ujenzi barabara: Wabunge wamkumbuka Hayati Magufuli

    Siwezi kupotosha maana upotoshaji ni uongo!, mapungufu sio huhalali wa kutukana na kupotosha!, sio lazima usifie !, UKIPOTOSHA MAANA YAKE UNAPIKA TAARIFA
Back
Top Bottom