Ahaaaaaaaaaaa!!!,
ALIKUWA JEMBE HUYU JAMAA, yaani mpakasasa hawaamini kama amekufa!! Duh!!ahaaaaaaaa!
Kumbe waliumizwa sana!
KITENDO CHA KUMSEMEA MWENYEZI MUNGU ETI AMEAMUA NI KUMKEBEI MWENYEZI MUNGU!,
Mwenye akili asingefurahi kifo cha Magu!,
Angepata funzo kwamba magereza ni ya watu wote!
Hakuna cha ufuasi, hapa ni usimamizi na kukitumia vizuri kinachopatikana, akili zetu ni mgando na kuaminishwa kuwa vitu fulanifulani mpaka wajomba watusaidie
Hapa mchezo huko hivi; pesa tuongeze kwenye mishahara na marupurupu mengine, pia tukamirishe miundo mingine ili tuoneka tunapiga kazi!
Lakini kiukweli watu kufanya kazi kwa ajiri ya vizazi vijavyo hatuna mtizamo huo!
Huyu anayesema bwawa dogo lilitengenezwa ndani ya miaka mitano, hili kubwa...
Nyerere na JPM ni viongozi waliojali wananchi wake hasa wale waliokuwa wananchi wa kawaida!,
Wezi na mafisadi ndo wanawatukana na wana uwelewa mdogo!,
Mwenyezi Mungu awarehemu na walale mahali pema PEPONI,
AMINA
Bado wewe unayejiita wa mjini unamkandia JPM? Hata Dar yenyewe kajitahidi kupunguza kero fulanufulani bado unamwita JPM alikuwa mshamba? Kweli wewe ni tatizo!
Siwezi kupotosha maana upotoshaji ni uongo!, mapungufu sio huhalali wa kutukana na kupotosha!, sio lazima usifie !, UKIPOTOSHA MAANA YAKE UNAPIKA TAARIFA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.