Wakuu naombeni msaada wenu wa kina. Nimekua nikijichua/nikifanya punyeto kuna kipindi huwa nakaa hata mwezi bila hata kugusa ila nikisha fanya tena unawezaa kuta nafanya hii hunitokea sana sana nikiwa nyumbani/tukiwa likizo. napata shida msaada wenu wakuuu. nifanye nini wakubwa niache kabisa hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.