Recent content by Justine Mbuya

  1. J

    SAKATA la Gesi-Mtwara: Kiongozi mmoja wa Kichama Kutolewa Kafara

    Watu wa kusini wameshaona kila kitu mbinu zote hizi zitagonga mwamba lazima wameshachemka imekula kwao hawana jipya.
  2. J

    LIVE: Nape ndani ya Wapo Radio

    Sisi wa mbali hatujamsikia hiyo radio haifiki huku lkn tunamfahamu huyo jamaa hajui kujibu maswali na hakawii kuizungumzia CHADEMA badala ya kujibu maswali.
  3. J

    Mtwara inakuwa ni twisting point ya siasa zetu

    Mtwara watasaidia maeneo mengine waamke tumechoka na siasa zao za kujinufaisha wenyewe, watu wa kusini msilegee mimi nipo Geita huwezi kuamini hata maji hamna barabara siwezi kusema ni aibu angalieni msije mkawa kama huku mmeshtuka mapema hivyo msilegee.
  4. J

    Matusi ya Lema na Matusi ya Lusinde ni Matusi Yetu na Unafiki Wetu!

    Tusiwe waropokaji wazuri bali tuwe wachangia hoja wazuri Hukumu ya Lema ina walakini kwa sababu muhusika mkuu hajalalamika Kingine tuangalie na garama jamani fedha hizo zingefanya mambo ya maendeleo. Bado taifa halijawa na uongozi imara.
  5. J

    Judge Warioba ateuliwa kuwa Mwenyekiti Tume ya Katiba

    Hapa wenye nia njema ni wachache mungu atusaidie
Back
Top Bottom