Recent content by Justine Daniel

  1. J

    Wateja wa irish potato

    Natafuta mtu mwenye connection ya wateja wa Viazi (Irish potato) aliyepo Dar es salaam. Nipo Njombe Kwa aliye tayari call me [emoji116] Tel: 0654629098
  2. J

    Ni vitu gani muhimu vinatakiwa kwenye cover letter?

    Naandika iende kwa kampuni Yaani nimeambiwa ni ambatanishe CV, COVER LETTER NK sasa hiyo cover letter ndio cjaelewa naiandika vipi
  3. J

    Ni vitu gani muhimu vinatakiwa kwenye cover letter?

    Greetings: Guys, ni vitu gani muhimu vinatakiwa kwenye cover letter?
  4. J

    Natafuta kazi ya data management

    Mungu akuongoze Ila toa maelezo ya kutosha kuhusu taaluma yako
  5. J

    Natafuta kazi ya data management

    Nipo tayari nipe location 0654629098 Naomba nitumie text whatsap [emoji120]
  6. J

    Natafuta kazi ya data management

    Kwa matatizo yote ya data usisite kunitafuta. 0654629098 Elimu: degree in official statistics Ni mtaalamu haswa kwa maswala yote ya data. Tunafanya data ziwe rahisi katika kufanya tathmini ya biashara yako au namna ya uendeshaji wa kampuni yako. Nipo DAR ES SALAAM
  7. J

    Natafuta kazi ya kitakwimu, nipo tayari kufanya kazi kwa moyo wote

    Nipo tayari boss na uwezo wa kufanya kazi ninao nipe location tu nakuja tufanye kazi. Nipo DSM tu kwa sasa hivyo hapo pwani sio mbali nafika mapema tu niamini nifanye kazi[emoji120][emoji120]
  8. J

    Natafuta kazi ya kitakwimu, nipo tayari kufanya kazi kwa moyo wote

    Naomba namba yako boss Kwa maelezo zaidi ningependa wazo lako. Kama hutojali lakini [emoji120][emoji120]
  9. J

    Natafuta kazi ya kitakwimu, nipo tayari kufanya kazi kwa moyo wote

    Ndio mkuu nipo tayari kufanya nipe location tu kikubwa maelewano Nitafute 0654629098
  10. J

    Natafuta kazi ya kitakwimu, nipo tayari kufanya kazi kwa moyo wote

    Yes nipo tayari boss nipe location tu mm nafanya mladi maelewano tu Ni tafute 0654629098
  11. J

    Natafuta kazi ya kitakwimu, nipo tayari kufanya kazi kwa moyo wote

    Hello! Jf family. Mm ni muhitimu wa shahada ya kwanza ya takwimu. Hivyo basi naomba kama kuna mtu au NGO'S yoyote inayohusika na maswala ya data anishirikishe. Experience: fresh graduate. Ninauwezo mkubwa wa kutumia kompyuta hasa kwenye package zote zinazo husika na maswala ya data eg...
Back
Top Bottom