IVI MTU UNAWEZA UKATAFUTA UKADANGANYA??...mtu unamwambia upo katika kazi ya umeme unauzoefu wa miaka sita, ila anakataa wakati vyeti vipo na vinaonesha na cv pia kila kitu eti kisa mtu kasema anamiaka ya umri miaka ( 20 )wanaona ajabu. Jamani watanzania wenzangu maisha saivi...
Naitwa:-.........................JASTIN J. KAMUGISHA.
Kazi:-...............................ELECTRICAL.
Lesseni:-........................CLASS ( D ).
Elimu ya ufundi:-.........LEVEL TWO ( 2 ).
Ninako ishi:-.................MOROGORO.
Umri/ miaka:-...............20
Mobile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.