Recent content by justin mabula

  1. J

    Afisa mazingira daraja la ii tunapaswa kusoma wapi angalau kuvuka usaili wa kuandika

    Vipi wakuu mlishapata Group la Enviromental Officer au dodoso lolote kuusu Notes
  2. J

    Ushahuri Kuhusu Tazara

    Oky Asante sana
  3. J

    Naomba Ushauri Kuhusu ajira Tazara

    Naombeni Ushahuri, Nina mdogo wangu kapata fursa ya Kusomea Locomotive Driver (Dereva wa Treni) uko Tazara ambapo wataenda somea Huko Zambia kwa muda wa miaka Miwili cheti kilichotumika ni cha Form 4 na gharama za masomo na kila kitu inaweza fikia 5M Je, Ndugu zangu kwa mnavyoiyona Shirika la...
  4. J

    Ushahuri Kuhusu Tazara

    Naombeni Ushahuri, Nnamdogo wangu kapata fursa ya Kusomea Locomotive Driver (Dereva wa Treni) uko Tazara ambapo wataenda somea Huko Zambia kwa muda wa miaka Miwili chet kilichotumika ni cha Form 4 na gharama za masomo na kila kitu inaweza fikia 5M je ? Ndugu zangu kwa mnavyoiyona Shirika la...
Back
Top Bottom