hahahahaaha umeishiwa wewe anzisha ya kwako km unaona ni dili utaisoma namba... muache mama wa watu afanye kazi zake kwa manufaa ya jamii kwa sababu ht manufaa mengne huwezi kuyaona kwa macho km vile elimu itolewayo kwa wanajamii kuhusu mambo mbalimbali huwezi kusema hawafanyi kitu huo ni...
hizo ni chuki binafc tu, matunda ya Morogoro paralegal yanajulikana mkoa wa Morogoro na ina mchango mkubwa kwa paralegals mkoani Morogoro. huyu mama amekuwa akiweka juhudi zake binafc ktk maendeleo ya hiyo NGO na co wizi km unavyodai coz maisha yake na familia yake ni ya kawaida mno kiac kwmb...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.