Recent content by Just Pray

  1. Just Pray

    PostGE2025 Padre Kitima akumbushia matukio ya Oktoba 29 asema 'kesi za uvunjaji wa haki za binadamu hazifutiki'

    Padre Charles Kitima anasema aliyetumwa, aliyetoa mamlaka kupiga risasi akijua kabisa ni kinyume cha sheria atawajibishwa tu ni suala la wakati. Anasema masuala ya kesi za kibinadamu hayafutiki!! Soma Pia: PostGE2025 Padre Kitima: Nilishauriwa na watu nisiende kumzika Jenista
  2. Just Pray

    SI KWELI Jeshi la Marekani limetangaza kifo cha Benjamin Netanyahu

  3. Just Pray

    Daah! Bora ningesoma

    Kabisa
  4. Just Pray

    Daah! Bora ningesoma

    Maana yako kwa sasa hakuna tofauti ya aliyesoma na asiyesoma
  5. Just Pray

    Daah! Bora ningesoma

    Asubuhi na mapema nakutana na huu ujumbe. Naomba kuuliza kama usingesoma na kupata kibarua ulichonacho sasahivi ungekuwa wapi na unafanya nini? Au na wewe ungesema Bora ningesoma😌
  6. Just Pray

    Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

    Rais Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike Machi 11, 2026, katika makazi yake, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma. Mtoto huyo aliyepewa jina la Grace Samia Suluhu Hassan alitelekezwa mjini Nzega, mkoani Tabora, na amekabidhiwa kwa Rais Dkt. Samia na Mkuu wa Wilaya ya Nzega...
  7. Just Pray

    Mmiliki wa Kusaga TV ashikiliwa na Polisi chanzo chadaiwa kuandika taarifa za uongo za kijana aliyebishana na Polisi

    Mwandishi kusaga wa Arusha ashikiliwa na polisi muda huu,chanzo chadaiwa kuandika taarifa za uongo za kijana aliyebishana na polisi Mwandishi wa habari wa alphonce Kusaga mmiliki wa Kusaga TV na mtangazaji wa kituo cha Radio cha Sunrise anashikiliwa kituo kikuu cha polisi Arusha muda huu baada...
  8. Just Pray

    Ni tabia gani inakukera ukikutana nayo unapotumia usafiri wa basi?

    Kumbe wapogoro nao wana haya masuala😅
  9. Just Pray

    Ni tabia gani inakukera ukikutana nayo unapotumia usafiri wa basi?

    Ukipata changamoto kampuni husika si linawajibikakutoa msaada?
  10. Just Pray

    Ni tabia gani inakukera ukikutana nayo unapotumia usafiri wa basi?

    Katika harakati za masuala ya safari nimebahatika kupanda basi moja kutoka mkoa X, kero kubwa ni huu mrundikano wa abiria wanaolala kwenye korido kiasi cha tulioketi kukosa hata nafasi ya kunyoosha miguu. Vipi na wewe unakereka kama mimi? Au tabia ipi inayokukera wewe?
  11. Just Pray

    Zungu apigwa onyo kali kwa kukiuka maadili kuhusu tukio la uchelewaji wa ndege ya ATCL Mwanza - Dar

    JAB YAMPA ΟΝΥΟ ΚALI MWANDISHI KWA KUKIUKA MAADILI Dar es Salaam, 23 Januari, 2026 Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), kwa mujibu wa mamlaka iliyopewa chini ya Sheria ya Huduma za Habari, Sura ya 229 na kanuni zake, imempa ONYO KALI Mwandishi wa Habari, Bw. Kelvin Justine Raphael...
  12. Just Pray

    The son of a former Zimbabwean president has allegedly shot a security guard

    The son of a former Zimbabwean president has allegedly shot a security guard. More details to follow as SABC News reporter Chriselda Lewis reports from the scene. Police in South Africa have detained the youngest son of Zimbabwe's late former President Robert Mugabe after a reported shooting...
  13. Just Pray

    Serikali yapitisha mabadiliko ya katiba Simba, uwekezaji sasa njia nyeupe

    Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT) imeidhinisha rasmi marekebisho ya Katiba ya klabu ya Simba baada ya kukamilika kwa mchakato wa kisheria uliokuwa chini ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Michezo. Ikumbukwe Februari 16, 2026, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul...
Back
Top Bottom