Recent content by Just Pray

  1. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Sisty Nyahoza ni Msajili wa CHADEMA. Kwa ajili “upekee” wa chama hicho, kinahitaji Msajili maalum

    Anaandika Askofu =AZZv8SDwpNZQpRAdKO0KM3ThuvGJtDPSFGl04-w6jloAbN6EASm_FzYjIbZQArOVFkLgh1DiCJVDAK3qPsqYMasa3LV7P0X0m6SjlPWu_Ptldy4rKTVd3lDL77LeI5jDhBLq1Qls9yYP_D95Nul4mPpOHh3e14MdedAzVykniFKnvXEkHKrh_yZp0miRQ0Du0DUuAqqqVpyc75gQfyGI-oew&tn=%2Cd-UC%2CP-R']Kalikawe Lwakalinda Bagonza kupitia...
  2. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Yaliyotokea Oktoba 29 yametupa funzo. Vyombo vya Ulinzi na Usalama majaribio yale waliweza kuyaondoa kwa muda mfupi sana

    Rais Samia Suluhu Hassan anasisitiza umuhimu wa vyombo vya ulinzi na usalama kutochukulia amani ya nchi kama mazoea. Anabainisha kuwa majaribu yaliyopita yametoa mafunzo, na hivyo hakuna taarifa yoyote ya kiashiria cha hatari inayopaswa kudharauliwa, bali inatakiwa kufanyiwa kazi kwa haraka...
  3. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Amani na utulivu uliopo leo ni matokeo ya kazi ya jeshi la polisi na vyombo vyetu vingine vya ulinzi na usalama

    Rais Samia Suluhu Hassan anasisitiza kuwa amani na utulivu uliopo leo ni matokeo ya kazi ya jeshi la polisi kwa kushirikiana na vyombo vyetu vingine vya ulinzi na usalama. "Kwa kuwa hii ni mara yangu ya kwanza ya kuonana na jeshi la polisi tangu tumemaliza uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka jana...
  4. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi: Rais Samia usiumie inapotokea mtu anafanana na Choroko

    Wakuu Waziri wa mambo ya ndani Patrobas Katambi anawabatiza watu wenye mitazamo mbadala kama "wasaliti" na "choroko zisizoiva," huku akitumia mifano ya kidini kumweka Rais kwenye nafasi ya asiyekosea. Waziri Katambi ameyasema hayo katika hafla ya kuhitimisha Mafunzo ya Maafisa na Wakaguzi...
  5. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Uwekwe utaratibu wa kuweka Tozo kwa magari yanayoingia Katikati ya Jiji

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila akizungumza alipotembelea Makao Makuu ya TFF, Ilala, Karume "Tumeruhusu kila aina ya usafiri kuingia barabarani. Nafikiri mliwahi kunisikia wakati fulani nikasema... nilitania tu, lakini nilikuwa namaanisha. Ni ule utani wa kweli kweli. Nilikuwa...
  6. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Nchi yetu inao vibaraka wengi. Inafanyika michezo ya kulipia baadhi ya watu wafanye vitendo vya kihalifu

    Wakuu Waziri mkuu Mwigulu Nchemba akiwa mkoani Iringa anasema: Ujasusi wa dunia hii, ameufuatilia kwa miaka mingi sana. Anaijua michezo mingi. "Najua haya yaliyotokea Ghana, najua yaliyotokea Congo, najua yaliyotokea Angola, na... najua maeneo mengi yaliyowahi kutokea. Tanzania si alikuwa...
  7. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Mradi stendi ya Chunya gharama zaongezeka zaidi ya Bilioni 1 na kusababisha hasara kwa halmashauri

    Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Beno Malisa, ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani humo kuchukua hatua za haraka dhidi ya mkandarasi wa mradi wa kituo cha mabasi wilayani Chunya, kampuni ya MJ Contractors, kutokana na kuchelewesha utekelezaji wa mradi huo. Amesema...
  8. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa awajia juu waliomkosoa kuita wananchi Nguchiro asema 'Wewe kama siyo Nguchiro kime kuuma nini?'

    Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, anaweka wazi juu ya watu walioweka namba yake ya simu mtandaoni na watu wengine kutumia namba hiyo kumrushia matusi.
  9. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Bei mpya za Mafuta mwezi Mei zatangazwa, Petroli yazidi kupanda hadi 4115, Diseli 4248

  10. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Jitihada za vyombo kudhibiti ghasia ndiyo imefanya Tanzania iwe ilivyo vinginevyo tungekuwa tunazungumza hadithi nyingine

    "Jitihada za vyombo kudhibiti ghasia na vurugu zile ndio zimefanya Tanzania iwe leo ilivyo. Vyenginevyo tungelikuwa tunazungumza hadithi nyingine. Lakini hapa mwenyekiti haimaanishi kuwa kwa wale ambao tutabaini wamekiuka sheria na taratibu za kazi zao kwamba hatutawajibisha, tutawajibishana." -...
  11. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Katiba Mpya inahitaji utulivu, tusiandike Katiba ya hasira, iundwe kamati kusikiliza maoni ya wananchi

    "Kabla 2029, serikali tunaiipendekeza iunde kamati ya wataalamu wa katiba ambayo itakuwa na jukumu la kupitia katiba iliyopo, rasimu ya katiba ya tume ya mabadiliko ya katiba, katiba inayopendekezwa ya mwaka 2014, ripoti ya tume mbalimbali na kamati na vikosi kazi mbalimbali. Baada ya kufanya...
  12. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Madai ya kuwepo kwa makaburi ya Kondo hayakuweza kuthibitishwa

    "Lakini pia, Mheshimiwa Rais, kulikuwa na madai ya kuwepo makaburi ya halaiki. Kulikuwa na madai hayo kupitia vyombo vya habari vya kimataifa na mitandao ya kijamii kuhusu uwepo kwa makaburi ya halaiki eneo la makaburi ya Kondo, Kunduchi, Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam. Tume imefanya...
  13. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Tume ilipokea ushahidi kuhusu watu kupotea au kutopatikana tangu uchaguzi mkuu

    “...vilevile inawezekana kulikuwa na majeruhi ambao waliamua kutibiwa nje ya mfumo rasmi, na wakafariki bila taarifa zao kufikishwa panapostahili. Tume pia ilipokea ushahidi na madai kuhusu watu kupotea au kutopatikana tangu wakati wa uchaguzi mkuu. Kwa kuzingatia ufafanuzi uliotolewa kwa idadi...
  14. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Jaji Chande: Kilichotokea siku ya uchaguzi mkuu hayakuwa maandamano ya amani yalikuwa ni ghasia

    Jaji Chande akiwasilisha ripoti ya uchunguzi wa matukio ya uchaguzi mkuu 2025 anasema hayakuwa maandamano ya amani bali ni ya ghasia. Anasema "Kilichotokea siku ya uchaguzi mkuu, Oktoba 25, hayakuwa maandamano ya amani bali yalikuwa ghasia yaliyoambatana na matokeo ya uvunjifu wa amani...
Back
Top Bottom