Kuna uzi unafanania na huu mesimulia hili my dear, just in summary nilipata ka underage kahendsome balaa, zamani I had weekness kwa wanaume ambao Wana muonekano mzuri, siku hizi kikubwa upumue tuuu, jamaa alianza poa ila alikuja kunigeuza kitega uchumi, plus vipigo na madharau kibaooo, na...
Umeongea mama, mi nampima mwanaume jinsi anapambania familia yake, jinsi anajua majukumu yake, urefu wako na usix packs aisee havileti ugali mezani wala ada za watoto, hao watoto wakiwa na sura ngumu au muonekano wa kawaida so long wamesoma na mewapambania kuwajengea bright future watapata tu...
Kikubwa be a man kwa hiyo relationship, usitumie kigezo cha umri kama fimbo, kitu kidogo unaanza lawama, sijui unanidharau sababu umenizidi umri, mara unanidharau sijui sababu umenizidi pesa, ulifahamu hayo kabla hujaanza hayo mahusiano, You had a choice before dating matured woman...
Just love...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.