Recent content by juniorhd

  1. J

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeitwa kazini utumishi kama afisa usafirishaji, baada ya kuripoti naambiwa nafasi yangu kapewa mwingine sababu ya uhaba wa magari

    Nilitumiwa barua Julai 27 kuitwa kazini utumishi wa umma nafasi ya afisa usafishaji daraja la pili nimeripoti mapema na wao walisema ndani ya siku 14 niwe nimeripoti lakini niliwahi mapema kuepuka usumbufu nimefika naambiwa nafasi hiyo ina mtu tayari toka muda na hawawezi kuongeza mtu sababu...
Back
Top Bottom