Recent content by JuniorDarilson_

  1. JuniorDarilson_

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Kama huna shida ya kulipia 120 kila mwezi wako poa. Ila kumbuka hawazimi internet itaendela kuwepo wao watakudai tu hela yao sio kma airtel ukinunua tarehe flani internet itaisha tarehe flani so mpaka ww mwenyewe ukijickia kununua tena, voda wao internet itaendelea kuwepo watakutumia tu bill...
  2. JuniorDarilson_

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Ishu hawa isp wengine bei sana afu speed ndogo voda na airtel ndo hivyo sitazigusa tena. Kuna ttcl na net solution bei zao rahisi afu speed nzuri zote bei za 55k 20mbps ila maskani kwangu net solution haijafika
  3. JuniorDarilson_

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Brother voda jau sana mkuu wana contract ya 24 months alfu huduma yao ni postpaid yani ni lazima ulipie kila mwezi usipo lipa wanakudai
  4. JuniorDarilson_

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Bro hawataki ela niamini mimi shop ipo karibu hapa na maskani. Nilishaandika fomu na nikajaza tena na online mafundi walikuja wakafanya survey wakasema vifaa hamna wakipata watufunga nikatoa 150 cash nikawaambia ndugu zungu izi apa siku mbili naomba niwe nishafungiwa wakakataa ela wakaniambia...
  5. JuniorDarilson_

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Oya airtel miyayusho hiz net za wireless jau sana yani bora fiber
  6. JuniorDarilson_

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Nilisha achana nao kitambo niliwarusishia router yao waliniambia ukifisha gb 1200 speed inapingua. Alfu sasa mi ni mtu wakudownload large files daily. So sikuweza kuendelea na huduma yao
  7. JuniorDarilson_

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Bro bora upate ttcl ata ikitokea changamoto ya mtandao, hujutii sana coz price yao rahisi na speed yao fair kwa kwel 20Mbps kwa 55k we acha. mi rafiki yangu anatumia ttcl (t-fiber) kila siku naendaga kushusha mizigo na speed iko vzuri yani stable
  8. JuniorDarilson_

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Brother nishawatoa 150k wanifungie chap chap wanakataa. Wanadai noma kwa asahiv awapokei ela ivi ivi kma zamani
  9. JuniorDarilson_

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Nilisha achana nao kitambo niliwarusishia router yao waliniambia ukifisha gb 1200 speed inapingua. Alfu sasa mi ni mtu wakudownload large files daily. So sikuweza kuendelea na huduma yao
  10. JuniorDarilson_

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Kaka ukifisha 1200gb speed inapungua
  11. JuniorDarilson_

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Ukifisha gb 1200 speed inapungua. Airtel wenyewe wanasema hivyo
Back
Top Bottom