Kama huna shida ya kulipia 120 kila mwezi wako poa. Ila kumbuka hawazimi internet itaendela kuwepo wao watakudai tu hela yao sio kma airtel ukinunua tarehe flani internet itaisha tarehe flani so mpaka ww mwenyewe ukijickia kununua tena, voda wao internet itaendelea kuwepo watakutumia tu bill...
Ishu hawa isp wengine bei sana afu speed ndogo voda na airtel ndo hivyo sitazigusa tena. Kuna ttcl na net solution bei zao rahisi afu speed nzuri zote bei za 55k 20mbps ila maskani kwangu net solution haijafika
Bro hawataki ela niamini mimi shop ipo karibu hapa na maskani. Nilishaandika fomu na nikajaza tena na online mafundi walikuja wakafanya survey wakasema vifaa hamna wakipata watufunga nikatoa 150 cash nikawaambia ndugu zungu izi apa siku mbili naomba niwe nishafungiwa wakakataa ela wakaniambia...
Nilisha achana nao kitambo niliwarusishia router yao waliniambia ukifisha gb 1200 speed inapingua. Alfu sasa mi ni mtu wakudownload large files daily. So sikuweza kuendelea na huduma yao
Bro bora upate ttcl ata ikitokea changamoto ya mtandao, hujutii sana coz price yao rahisi na speed yao fair kwa kwel 20Mbps kwa 55k we acha. mi rafiki yangu anatumia ttcl (t-fiber) kila siku naendaga kushusha mizigo na speed iko vzuri yani stable
Nilisha achana nao kitambo niliwarusishia router yao waliniambia ukifisha gb 1200 speed inapingua. Alfu sasa mi ni mtu wakudownload large files daily. So sikuweza kuendelea na huduma yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.