Sorry John Deer,unaweza kufahamu mwisho wa mavuno ya mpunga ni lini?...nilikuwa na mpango wa kununua gunia kadhaa but nimekwama so nilikuwa nataka kujua mwisho wa mavuno ni lini ili nijipange kabla bei haijapanda zaidi.
Biashara ni nyingi ambazo unaweza kufanya btn China na Tz,Then market ni kubwa sana especially kwa eletronics na mavazi ya kina dada....The issue is kupata mtu mwaminifu Tanzania ambaye atakuwa ndio buyer wa hizo products.But for the time being weka price za commodity ambazo demand yake ni kubwa...
Wanajamvi naombeni msaada ni jinsi gani naweza kurestore nokia express music 5530....nimejaribu kuingiza *#7370# then nimeweka password ya 1-5 but imeshindikana inaniambia code error nikajaribu kuomba password kwa mtu aliye nipa but na yeye amesahau......Naombeni msaada wenu.
Ni vizuri kama kama ukadownload kutoka kwenye app store ya cmu yako maana hapo unaweza ukapata ambyo inakufaa kwa hyo 10mb coz niniyo tumia mimi kwenye cmu ina 18mb.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.