nan kasema yanachelewaga wakat mwaka jana mtu anapangiwa chuo na kozi anayosoma na asilimia yake ya mkopo ndugu yangu mwaka huu wamezngua kimtindo. Ni bora watoe taarifa mapema.
yani iko ivi walvyotoa majina ya frst round kwny profile nliandikiwa succesful
ina maana hawakuniambia nifanye second round but majina ya chuo yametoka batch 1 &2 lkn mimi jina langu halipoo mkuu
Naomba msaada nimechaguliwa first round udsm but cjawa admitted na profile inaonesha nimechaguliwa udsm na kozi husika niliyochagua.
na udsm wametoa batch 2 lkn bado sipo mwenye msaada na cku zinaenda?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.