Recent content by junii

  1. J

    St. Agustino Main Campus 2015/2016 tukutane hapa

    oi mwambie mdg wako anichek humu anipe maelekezo 0712708552 Na mm pia saut
  2. J

    Tumechoka mnavyotusakama na kutudharau eti "watoto wa BRN"

    ww ndo mjinga hujui hata kuandika ukimchuka ndo nin
  3. J

    HESLB mnasubiri uchaguzi upite ndio mtoe majina ya waliopata mkopo 2015/2016?

    nan kasema yanachelewaga wakat mwaka jana mtu anapangiwa chuo na kozi anayosoma na asilimia yake ya mkopo ndugu yangu mwaka huu wamezngua kimtindo. Ni bora watoe taarifa mapema.
  4. J

    Nimechaguliwa first round kumbe cjachaguliwa

    we nawe kuna tusi gan hapo dzain nimefanyia km kbwagzo tu ila tenx kwa ushaur
  5. J

    Nimechaguliwa first round kumbe cjachaguliwa

    aah poa haina mbay thnx guyz
  6. J

    Nimechaguliwa first round kumbe cjachaguliwa

    aaah poa,poa maana tcu ni wasen**rema knoma yan
  7. J

    Nimechaguliwa first round kumbe cjachaguliwa

    yani iko ivi walvyotoa majina ya frst round kwny profile nliandikiwa succesful ina maana hawakuniambia nifanye second round but majina ya chuo yametoka batch 1 &2 lkn mimi jina langu halipoo mkuu
  8. J

    Nimechaguliwa first round kumbe cjachaguliwa

    Naomba msaada nimechaguliwa first round udsm but cjawa admitted na profile inaonesha nimechaguliwa udsm na kozi husika niliyochagua. na udsm wametoa batch 2 lkn bado sipo mwenye msaada na cku zinaenda?
  9. J

    Nimepita first round kumbe sijachaguliwa

    hata mim jmn udsm ivo ivo yanmm mwenye msaada anisaidie kwa hilo
  10. J

    TCU waweka round ya nne!

    we mwanatumaini huna uelewa hata kidogo
Back
Top Bottom