Recent content by Jungo Mota

  1. J

    Sakata la Lowassa:Watanzania wenye ni moja ya chanzo cha tatizo

    Mlipo mpokea Lowasa CHADEMA mlimuona ni Lulu sasa ndio mnamuona fisadi acheni unafiki wenu , kijana hauna jema , basi mara nyingine tafuta maneno ya kuogea tukuone una maana .
  2. J

    Mgeja: Chadema wanadai uhuru wa bandia maana uhuru kamili tulishapata 1961

    Mbona mlipompokea mlimsifia na kumuimbia mapambio kwa kuwa kawahama mnaanza kumchafua .Nyie siku zote wakosa shukrani au hamjitambui
  3. J

    Nchi wahisani na taasisi fedha za kimataifa sitisheni misaada na mikopo mpaksa forensic audit ifanyike kujua ni wapi zilipo shilingi trilioni 2.4

    Wengine mmepewa akili za kuokotea makopo na kwenda chooni tu maana mnaonge ujinga mtupu
  4. J

    Nchi wahisani na taasisi fedha za kimataifa sitisheni misaada na mikopo mpaksa forensic audit ifanyike kujua ni wapi zilipo shilingi trilioni 2.4

    Wakisitisha halafu uatafaidika na kipi , mbona unahangaika sana wewe nadhani sio mtanzania halisi
  5. J

    Baada ya kujiuzulu uenyekiti wa kamati ya Bunge, Nape aja na tweet ya picha ya saa iliyozua mjadala mtandaoni

    fanya wewe kila mtu na maisha yake mjinga wewe.taifa ni letu kwa nini tulihujumu wewe unaonekana si mtanzania peleka upumbavu wako huko.
  6. J

    Itigi: DED, rangers arrested over murder in church

    Luhende sio msukuma kabisa mfipa wa Namanyere namfahamu vizuri usipotoshe watu
  7. J

    Njama dhidi ya Sokoine ingekuwa Tanzania ya Leo, Pangechimbika

    Haya unayoyaandika hapa unaweza kuyathibitisha pasipo na shaka aina yoyote au unaandika kwa ajili ya kutaka kujifurahisha nafsi yako?. Nakuomba sana kama hujui jambo usiandike uzushi maana hautakusaidia zaidi ya kuonekana mbwiga please.
  8. J

    Who is INDO Power Solutions na ni nani Bw. Brian Mutembei?

    Aliyenunua Korosho hizo ni mtanzania mwenzetu anakaa Kenya na huwa anafanya biashara hiyo ya korosho kwa kuwagawia watanzania wenzetu fedha kuja kununua hizo korosho, alivyoona hali ni ngumu korosho imebanwa na serikali akaja kupambana hapa kwa kumuona mzee baba kama unakumbuka hapo kati alikuja...
  9. J

    An open letter: 10 great Magufuli transformations MP Lissu won't tell the World

    Tunachapa kazi tunaishi toka Enzi,hakuna serikali inayowekea watu hela mifukoni, watu wanalima wanapata fedha , cha msingi ni kuwa mbunifu ni nyie tu BAVICHA mnaoleta uzushi kuonyesha nchi iko hovyo wakati sio kweli, kama ulikuwa mnufaika wa huko nyuma jua maisha ni kuchapa kazi.
  10. J

    An open letter: 10 great Magufuli transformations MP Lissu won't tell the World

    Mwenye macho haambiwi tazama , hivi kweli huoni mabadiliko ha haupo Tanzania wewe, punguzeni kupinga kila kitu.
  11. J

    The Economist: President Magufuli is fostering a climate of fear in Tanzania

    Zito we andika tu huu upupu wako siku nchi ikichafuka ndio utajua chumvi na pilipili viko wapi ?
  12. J

    Jamani tunaomba updates za ujenzi wa viwanda zikiwa pia na majibu ya maswali haya

    Mwenye macho haambiwi tazama muda utaongea tu .Uongo na uzushi utaisha tu viwanda havifichiki vinaonekana tu lakini mnajitia hamvioni .
  13. J

    Jamani tunaomba updates za ujenzi wa viwanda zikiwa pia na majibu ya maswali haya

    Hivi wewe uko nchi gani nakushangaa sana viwanda huvioni au unajitoa akili , umefika Mbeya Mwanza , Pwani ,Tanga , Arusha ,Mwanza n.k ukaona viwanda vinavyofufuliwa na kuanzishwa . Unajua North Mara kuna mgodi mpya wa barick unaanza soon. Ni maajabu haya mtanzania unaongea uongo kweupe
  14. J

    Kama Magufuli anakosolewa namna hiyo je, ni kiongozi wa aina ipi angefaa?

    Tafadhali usitufundishe kuishi watanzania , mbona maisha yanaenda tu utuache
Back
Top Bottom