Recent content by Jumosha

  1. J

    Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    samahani wadau Na hasa wenye uzoefu. bei ya gunia la maindi mpanda ni shilling ngapi Na jee kusafirisha hadi mkoa tarime inagarimu shilling ngapi?
  2. J

    Biashara ya soko la mtandao (network marketing)

    mamii Christine kutafuta mtu aingie chini yako ndio biashara yenyewe ni kama ilivyo kwenye office ni lazima ufagie au u process files ndo mshahara ulipwe. huwezii kaa chini kisha utegemee hela mwisho Wa mwezi huo ni wizi. na kwanza kampuni kama hiyo itakufa tu. na ndio maana inaitwa biashara ya...
  3. J

    Biashara ya soko la mtandao (network marketing)

    mavado this is not umachinga. huzunguki na bidhaa na kuuza bidhaa ni kama faida nyongeza tu usikose pocket money mfukoni. ila nikuulize huna ndugu wenye matatizo ya mifupa, pressure, INI, ngozi? hautumii dawa ya mswaki nyumbani? perfume? lotion? sio mpaka ujitangaze. unaangalia mahitaji ya walio...
  4. J

    Biashara ya soko la mtandao (network marketing)

    mpendwa Christine Hi biashara mtaji wake in mdogo mno ukiamua kuifanya. mtaji wake ni 750,000/= na kwakua waeona sio wote wanao weza lipa hiyo hela kwa mkupuo hivyo wameamua ruhusu watu kulipa nusu na kisha kumalizia nusu mwezi unaofata. tuseme januari unalipa 375,000/= na kumaliza nusu...
  5. J

    Msaada customer care NBC

    Je ni vigezo gani vina hitajika???
Back
Top Bottom