kama unatembea tu mjini ni sawa speed ndogo inatosha
ila kama unaenda mbali inaboa sana yani unaenda unatoka dar to mbeya au mwanza ipo kwenye 70 maximum ni kaz sana bora tu upande basi
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
ukiongeza speed rpm pia inaongezeka so lazima ubalance speed au rpm
good consumption inakua kwenye 2rpm ambapo apo unaongelea speed ya 70 mpk 80
ukizid apo rpm inasogea mpk 3 hapa ulaji wake pia sio mbaya ambapo apa inafika maximum 120
ukizid apa rpm inasogea mpk 4 apo inaharibu sana fuel...
apo inategemeana unataka ya mwaka gani, ila kiufupi fit inaweza kua nzuri zaidi kuliko vitz toyota by keeping other factors constant kama mafundi, spare parts, kuja kuiuza badae na practicability kwa mazingira ya bongo ila ukiangalia factor zote bila kukeep constant utarud kwenye vitz ambayo ni...
usisikilize review za google ukifatilia google wanakwambia vitz inafika 22km/l nunua uone, mm nimeshaendesha for more than 2 yrs ndo mana nakwambia ivo
and nilishauliza wenye nayo nikajua ni mm tu wakanambia its normal sio ist izo kaka
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
basi we have different experience
but ata vw golf ambazo zinaonekana ni ndgo tu mfano vw golf gti, gt au tsi unakuta fuel consumption kwa mjini ni 5km/l up to 7km/l
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
gari za germany ni performance car usitegemee kitumie mafuta kidgo gari inafika speed 260 utegemee inuse mafuta
kwanza ni nzito compared to japanese car hata vw polo kwa muonekano ni kidgo ila kina weight kubwa, pia unakuta ina turbo
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
ni piki piki nzur sana huwez jutia ukifanya service vzr utanunua cratch tu na spoket na brake shoe basi tofauti na apo ni kuwasha na kuondoka, japo iyo bei ni rahisi sana so kua makini, ukienda showroom ya honda wanauza 5M+
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
kama unataka kuhamia ujerumani hakikisha hela yako unaibudget kbs kwenye gar sio swala dogo kumiliki mjerumani kuanzia fuel consumption, service, spare availability and cost, mafundi na kubwa kuliko ni kwamba gari za ujerumani zinaharibika mara kwa mara na kuzitengeneza ni gharama kubwa unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.