Mdahalo juu ya suala la Chanjo inahtaj zaid madaktari, n kwa bahat mbaya madaktar wetu ktk hili sio waongeaji sana, wanasiasa ndo wanaoongea sana ktk hili. madaktar wanatakiw wafanye analysis ya content iliyopo kwenye chanjo wahusianishe na DNA kisha watuthibitishee kuw tutakuw salama au la.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.