Ama kweli ! huyu ni mwanaume wa kweli! Yeye Ubunge kwake ni dilii! Hana dhamira ya kuleta mabadiliko ya maendeleo katika jamii yake ya Kimasai! Kwa nini asiwagawie rubega? Nadhani watanzania wakati umefika kuwa macho na viongozi wetu ambao wanadhani tisheti ndio mahitaji yetu kwa sasa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.