Msaada wana jf mimi nilipenda sana kuomba maombi ya vyuo vya afya tangu mwezi mei, sasa kutokana na sababu ambazo zilikua nje ya uwezo wa familia hatimae nilikosa hela ya maombi ambayo ni sh.30000 toka siku hiyo nimekuja kupata jana hiyo hela nimeshatuma kwa m-pesa code ninazo.
Tatizo ni kwamba...
Tuma maombi wizarani ww asikukatishe tamaa mtu, CAS central admssion system wamesema kwamba cheti cha kidato cha nne kionyeshe alama D na E ktk PCB.alama E ni sawa na D ya mwaka jana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.