Recent content by Julius solomon

  1. Julius solomon

    Sitosahau: Tuliowahi kukimbia kazi za kubeba beseni na kuzitembeza mitaani tukutane hapa

    Hahahaa mkuu kama kunajob tusaidiane lakin kaz za mabeseni kwakwel hapana
  2. Julius solomon

    Sitosahau: Tuliowahi kukimbia kazi za kubeba beseni na kuzitembeza mitaani tukutane hapa

    Wale xo watu ni wauaji xina ham nao tena!! maana mmmhh!!
  3. Julius solomon

    Kwa wenye makampuni, maduka, supermarket, ofisi na majumba naomba kazi

    Sina mtaji mkuu nisaidie Kazi yoyote iliyopo .
  4. Julius solomon

    Naomba kazi kwa wenye maduka au supermarket

    Hahahahaaaa hamna mkuu kama kuna Kazi we niunganishe au nipe mambo ya mshahara ni ziada mkuu.
  5. Julius solomon

    Naomba kazi kwa wenye maduka au supermarket

    Nafaham mkuu vipi we huwezi nisaidia Kazi!
  6. Julius solomon

    Naomba kazi kwa wenye maduka au supermarket

    Mkuu sichagui Kazi Bali hayo ni mapendeleo yangu lakini kama kuna Kazi nyingine mimi niko tayari mkuu
  7. Julius solomon

    Naomba kazi kwa wenye maduka au supermarket

    Mkuu kama kuna Kazi nisaidie kijana wako
  8. Julius solomon

    Naomba kazi kwa wenye maduka au supermarket

    Mkuu hesabu naweza niamini mkuu wangu
  9. Julius solomon

    Naomba kazi kwa wenye maduka au supermarket

    N Nimerekebisha Mkuu nimesoma masomo ya sanaa mkuu kama kuna Kazi nisaidie kijana wako.
  10. Julius solomon

    Naomba kazi kwa wenye maduka au supermarket

    Nina uzoefu na hiyo Kazi mkuu ndiyo maana nikaandika hivyo.
Back
Top Bottom