Ugonjwa wa saratani unatibika ukiwa hatua za awali ndio maana serikali inahimiza wananchi kupima afya zao mapema ili ikigundulika mapema watibiwa na kupona
Sasa hebu sema wewe umewahi kufanya check up lini ya saratani..acha kulaumu km huna uhakika
Wagonjwa wengi wa saratani wanafika ocean road wakati ugonjwa upo hatua za juu na inakua ngumu mgonjwa kupona kabisa ugonjwa wake. Huyo mgonjwa hata akipelekwa marekani au india au nchi ingine anatibiwa kupunguza makali ya ugonjwa na kuongeza muda kuishi.
Usilaumu bila kujua huduma za kansa...
Jaribu kucheck wire wa abs ktk hub ya tire inawezekana umekatika..tatizo kila tire lina wire wake hivyo ni muhimu kutumia mashine ya diagnostic uweze kujua ni hub ya tire la upande upi..
Kama alivyosema mdau hapo juu inahitajika kurekebisha kiungio kinaitwa kemba?..matairi ya nyuma. Nenda kwa wataalamu wa wheel alignment na balance wanarekebisha hiyo tatizo
Muhimu kufanya general service ya gari..engine oil na oil filter, gearbox oil, sparkplugs, aircleaner, ac airfilter, na ukiweza badilisha matairi km una safari ya masafa au usafiri usiku. Sio muhimu kubadilisha timing belt/chain unless imepita km 100k..
Hapana sio kweli kabisa. Hiyo gari yangu namba ni BFM sasa tafuta rav4, xtrail au escudo yenye namba za aina hiyo linganisha hali yake ya mwonekano au engine.
Hapana haina tatizo lolote sababu nimepata gari la ofisi na nina shida ya hela kuna mradi namalizia.
Honda ni gari ngumu za matumizi na kama ww ni mtu wa masafu marefu ya mkoa basi utaipenda sana inavyotulia highway.
Na muhimu ina safety feature nzuri sana ukilinganisha na SUV zingine hata...
Habari wana jamii forum.
Ninauza Honda CRV RD5 ya 2003
Taarifa zaidi ya gari ni kama ifuatavyo;
Body: SUV 5doors
Engine: K24 i-VTEC, 4 cylinder, 2000CC
Transmission: Automatic 5-gear, 4WD, ABS na VSA
Odometer: 99k
Fuel: Petrol
Calour: White metallic
Additions: alloy rims, AC, power...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.