Ich bin ein Student aus Deutschland und schreibe meine Masterarbeit über Medienfreiheit in Tansania basierend auf der Medienpolitik während Präsident Magufuli. Mein Ziel ist es, die Kommentare und Diskussionen zu diesem Thema in den JamiiForums zu verstehen.
Was denkt die digitale Community...
Ansante sana! Hiyo inanisaidia sana. Bila shaka nafahamu sheria na kesi za Kabendera na Gwanda. Anyway nitafuata mapendekezo yako. Lengo langu ni kama nilivyotaja kupata ufahamu kuhusu jinsi watumiaji katika vikao vya kidijitali walivyochukulia sheria na kesi hizi. Asante sana!
Mimi ni mwanafunzi kutoka Ujerumani naandika tasnifu yangu kuu kuhusu uhuru wa vyombo vya habari nchini Tanzania nikizingatia sera ya vyombo vya habari wakati wa Rais Magufuli. Lengo langu ni kufahamu maoni na mjadala kuhusu mada hiyo kwenye JamiiForums.
Umma wa kidijitali unafikiriaje kuhusu...
I am a student from Germany writing my master thesis about freedom of press in Tanzania with a focus on the media policy during the time of president Magufuli. My aim is to grasp the opinions and the discourse about that topic in the JamiiForums.
How does the digital public think about this...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.