Yaani mkuu hizi mamlaka zimeamua kabisa kuchanganya watu, nadhani ni kukurupuka na kukosa weledi tu. Suala serious kama hili linapaswa kutolewa maelezo yaliyonyooka ambapo hakutokuwa na maswali mengi kwa waombaji. Yaani mpaka sasa najitafuta tu
Habari za wakati huu wadau, natumaini muwazima wa afya. Kwa wale tunaoendelea na kutuma maombi Mungu atusaidie sana.
Kuna mkanganyiko kidogo nimeupata kutoka kwa hawa TAMISEMI. Katika page yao ya Instagram waliopost tangazo la ajira kuna mdau aliuliza swali kuhusiana na vyeti kama vinatakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.