Mimi ni kijana wa kiume umri ni 24 yrs. wanajamvi.
Ninaitaji mke wa kuoa na kuanza maisha nae.
Sifa
1. Awe yupo Kanda ya Ziwa akiwa Mwanza ni vzur zaidi
2. Sichagui dini wala kabira
3. Elimu angalau form four ila asizidi level ya Master degree
4. Awe mcha Mungu
5. Mjasiliamali atapewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.