Habari wana jamii
Mimi ni fundi wa furniture natafuta mtu ambaye tunaweza fanya uwekezaji kwenye upande wa samani za ndani kwa mkoa wa Mwanza ama Mbeya.
Mimi ni fundi ninayefanya kazi za kiwango kizuri na utofauti mkubwa napia ninazo mashine portable mashine zote.
Kwa ambaye anahitaji anaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.