Recent content by JR 16

  1. J

    JamiiForums Tanzania Jenerali Muhoozi yamkuta mazito baada ya kumtishia balozi wa Marekani

    Huyo jamaa Muhoozi hana sifa za kuwa rais, dada yake ndo yuko vizuri sana, ana busara na hekima, usingekuwa mfumo dume wa nchi za Afrika mashariki na vurugu za akina Bob Wine , anafaa kuwa rais wa Uganda
  2. J

    JamiiForums Tanzania Iran yatoa Onyo kwa nchi yoyote ya Kiarabu itakayoruhusu Israel na Marekani kutumia anga au ardhi yake kushambulia Iran itaadhibiwa vikali

    Iran anatafuta mtu wa kufanya naye, anajua kilichoko mbele yake siyo kizuri, mbele haoni mwanga anaona giza, ametengeneza mazingira zaidi ya Sadamu Huseni, USA na Israel hawezi kuacha adui atamalaki na kutishia maslahi ya USA na kulifuta taifa la Israel,
  3. J

    JamiiForums Tanzania Abd Al Kareem Qassim ataka yeshe, Israel muwe na ubinadamu basi. Deputy Commander wa Quads auawa

    Yes, administration ya Hezibolah imekufa, mpaka sasa jeshi halina mawasiliano, wanaomba vita usimame ili wajipange vizuri kwa kupata sapoti ya Iran , Israel hawezi kukubali , amesema azima yake ni kuifanya Lebanoni ya kusaini kama Gaza , wameanzisha vita halafu wanaomba c vita uishe kweli!
  4. J

    JamiiForums Tanzania Hizbollah waomba Ceasefire

    Administration yote ya Hezibollah imefekwa, 99.9% ya viongozi wote wa Hezibolah wamekufa, kila anayeigusa Israel anapata hasara kubwa kuanzia Gaza, Lebanon , Iran,, mwanzoni nilikuwa simuelewi Netanyahu kulimaliza vita kumbe huko nyuma Israel ilishawi kuteka eneo la Lebanoni na kuliachia ili...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran

    Hamas ni washenzi kweli walaaniwe kabisa, unamvamia adui halafu unashindwa kuwalinda watu wako, badala ya kuwasaidia unaenda kujificha nyuma ya wanawake na watoto ili upate huruma, shetani hana rafiki, ni muuaji ameau wapalestina hivi hivi kwa ujinga wa hamas
  6. J

    JamiiForums Tanzania Ndege hatari 100 za IDF zafanya mashambulizi makubwa na kusambaratisha maeneo 120 yaliyo ngome kuu za Hezbollah Lebanon kusini

    Jeshi la Lebanon liko upande wa hezibollah au Israel au Neutral? Serikali ya Kwanini iko upande wa Israel, wanajua Hezibolah ikiisha Lebanoni itachanua, pia wasuni wa Lebano na wakristo watafurahi kwa sababu Hezibollah imekuwa mwiba kwao.
  7. J

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na Hamas

    Uislam ni dini nzuri na ni dini ya amani ila shida baadhi yao fundamentalists wa kiislam ambao hawataki jamii nyingine tofauti na uisl, hata Iran ameomba nchi za kiarabu na kiislamu waungane kumtwanga Israel, hivyo vikundi vya ISlamic states, hamas, hezibolah Muslimin brothehood, houth ndo...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Naim Qassem akataa kuongoza Hezbollah na ajiuzulu, Sheikh Ibrahim Amin naye akataa Uteuzi kuongoza Hezbollah

    Yule mzee aliyemrithi Nasrahal yuko wapi?
  9. J

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran

    Kwa mazingira yaliyopo ni suala la muda tu, Iran akiachwa maana yake Israel utaishi kwa shida sana, kila siku itakuwa inapigana na makundi ya kigaidi.
  10. J

    JamiiForums Tanzania Ali Khamenei agawa nishani kwa makamanda waliotoa kipigo cha mbwa koko

    Mashambulizi ya Iran yameleta madhara gani kwa Israel? Kama Israel bado inamtwangwa hamasa na Lebaboni
  11. J

    JamiiForums Tanzania Jicho la tatu la kijasusi Israel kurudisha ndege zake nyuma kuto ishambulia Iran

    Israel hayachanganyikiwa, anafanya kitu ambacho ana uhakika nacho, magaidi yameungana dhidi ya Israel na Ayatolah amesema waarabu tuungane ili tuisngamize Israel, huku vikundi vya kigaidi vinapewa sapoti na Iran na Rudia ili waitwangwe Israel, huku UN na baadhi ya mataifa ya Ulaya wanasema...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa Netanyahu kwenda kwa Rais Macron wa Ufaransa

    UN, NATO, Russia na China, Arabs wameshindwa kummaliza mgogoro ambao chanzo cha tatizo kinajulikana. Washinikize mateka waachiwe halafu Israel usimamishe vita mara moja, Ayatollah ametangaza lazima Israel iangamizwe, kwa mazingira hayo Israel italazimika kujilinda na kuna kupigana vita vikali...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Israel imerejea kutoka kijiji cha Odaisseh nchini Lebanon kwa vifo MAJERUHI MAKUBWA baada ya wavamizi hao kukutana na jibu kali la Hezbollah

    Huko Lebanoni upinzani ni mdogo sana kuliko Gaza, tusubiri matokeo ndo tunaamini kubwa hiki kinachosemwa ni kweli, hata hamasi ilikuwa ni hivi hivi baada ya muda vilio nikaanza eti wanaua watoto.
  14. J

    JamiiForums Tanzania Ayatollah Khamenei: Adui wa Waislamu ni mmoja, basi Waarabu wote tuungane kumuanganiza!

    Kwanini ahamasishe waarabu tu ili viwe vita vya jamii ya kiarabu dhidi ya Wayahudi
Back
Top Bottom