Nafikiri panahoja ya kueleweka hapa, ila je, kwann tusishauri wanaotaka kuibadili CCM wayapunguze madhaifu ili tuwe tunasonga mbele kuliko tukaamua tu kubadili chama bila kujajali diraction vinginevyo itakuwa ni tafadhali ya CCM. maaana............... zimwi likujualo halikuli likakwisha.
CHADEMA mbona mnachanganyikiwa hivyo????? Mnajaribu kumpaka matope JPM lakini kila leo wanaibuka wa kumfanya ang'are kiasi mnachoishia kuongea upuuzi kama huku
Mimi naamini hayo mawazo yako ni mazuri ila siyo kwamba hayaja fikirika na wenye dhamana ya uongozi tuliowapa, isitoshe miaka 99 ni mingi sana kutokuendelezwa kwa bandari nyingine yoyote alafu tutegemee bandari Mona kwa nchi kubwa(geographically) kuleta maendeleo ya haraka. Kitu cha msingi na...
Kwanini hukufanya comparison masharti ya hiyo bandari???? Tatizo hamtaki kumuamini kiongozi na kumuacha afanye kazi, mmempa jukumu na kuongoza nchi basi muaminini
Watu kama Mimi wapi wengi saaaana ila hawana muda wa kubishana na watu wasio na dira kwenye chama chao, ila tunajipanga kuwanyima hata serikali za mitaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.