Salaam,
Naomba msaada, nasumbuliwa na tatizo la kiuno na nyonga kuwaka moto. Pia sehemu ya chini ya mgongo. Ni maumivu ambayo yanasababisha muda mwingne nishindwe hata kulala. Naomba kufahamu tatizo linasababishwa na nini na tiba yake.
Shukrani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.