TRA wanatumia bei ya gari ikiwa mpya. Sasa issue ni kwamba bei hiyo ni kwa sasa au kwa kipindi kile? Lakini ukiangalia ni kwamba kodi ya gari ilozidi miaka 10 ni sawa na bei ya gari ingine.
Japanese Used Cars - JDM Cars Exporter | JPCTRADE CO.,Ltd.
Nadhani makadirio yatakuwa lipa usafiri na inspection etc. USD 1,500 - 2,200/- katika ile bei ya mwanzo, yaani FOB + usafiri/inspection. Then unapata CIF hii ni bei unayolipa hapo dsm, ila unaongeza na VAT+ Excise duty + Uchakavu + clearingForwarding+nyingine. Then unaendesha gari lako bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.