Recent content by Jovinnydinho

  1. Jovinnydinho

    Naomba utaratibu wa kupata cheti kingine cha NIT, nilichokuwa nacho kimepotea

    Shida mi nlisomea kwenye tawi lao la njombe. Nlivomuuliza mkuu pale njombe akasema nirudi kusoma upya ila nlikua nawaza kwenda dar ofisi kuu nione watanisaidiaj. Los report nnayo ata ata coloured copy yake ninayo ila kila napoomba kazi kwenye usaili wanataka original
  2. Jovinnydinho

    Naomba utaratibu wa kupata cheti kingine cha NIT, nilichokuwa nacho kimepotea

    Shida mi nlisomea kwenye tawi lao la njombe. Nlivomuuliza mkuu pale njombe akasema nirudi kusoma upya ila nlikua nawaza kwenda dar ofisi kuu nione watanisaidiaj
  3. Jovinnydinho

    Naomba utaratibu wa kupata cheti kingine cha NIT, nilichokuwa nacho kimepotea

    Naitwa Hussein issa nzomkunda nliibiwa begi lenye vyeti vyote ila Hivo vingine nilishapata utaratibu wa kuvipata isipokua cha NIT tu. Kwa anaejua utaratibu wa kufuata anisaidie tafadhali
  4. Jovinnydinho

    Naomba utaratibu wa kupata cheti kingine cha NIT, nilichokuwa nacho kimepotea

    Naitwa Hussein Issa Nzomkunda nliibiwa begi lenye vyeti vyote ila hivo vingine nilishapata utaratibu wa kuvipata isipokua cha NIT tu. Kwa anaejua utaratibu wa kufuata anisaidie tafadhali.
  5. Jovinnydinho

    Vipi naweza kupata kazi ya utingo kwenye roli?

    Mi kwanza siko bukoba bos. Niko Wilaya ya Ngara na hamna kampuni yoyote acha hata ya roli
  6. Jovinnydinho

    Vipi naweza kupata kazi ya utingo kwenye roli?

    Nikiwa na uhakika mbona nakuja ni simple tu
  7. Jovinnydinho

    Vipi naweza kupata kazi ya utingo kwenye roli?

    Kuna kampuni unayoijua niende Ata Leo bos
  8. Jovinnydinho

    Vipi naweza kupata kazi ya utingo kwenye roli?

    Nami ndo natafta atakaenisaidia ila madereva naowajua wananiruka et makampun hayawaruhus
  9. Jovinnydinho

    Vipi naweza kupata kazi ya utingo kwenye roli?

    Nimesha unganishwa kwenye Hilo group nashkur pengine ntafankiwa kama n mapenzi yake Muumba
  10. Jovinnydinho

    Vipi naweza kupata kazi ya utingo kwenye roli?

    Kwenda dar bila ramani bos huon kama naeza kukwama? Labda niwe na lefa la sivo naweza nkaenda na nkarudi bila mafanikio. Unaonaje unisaidie unitaftie af nije nkiwa na uhakika bos? Nko radhi hata nkupe chochote kama kuku encourage
  11. Jovinnydinho

    Vipi naweza kupata kazi ya utingo kwenye roli?

    Hilo group members wake hawako active make n sku kama ya tatu nimetuma request ya Ku join group lakin no reply bos. Araf lesen ninayo tayari ila sema Sina uzoefu Wa maroli ndo maana natafta utingo kwanza nizoee kaz araf kwabadae nkishazoea ndo nijiombee gari mwenyew
  12. Jovinnydinho

    Vipi naweza kupata kazi ya utingo kwenye roli?

    Napatikana huku kagera na namba zangu hiz apa 0768526381 Voda 0710163213 tgo 0789044413 airtel na 0621841594 halotel Nitoe shukran kwa yeyote atakae nisaidia kutimiza ndoto yangu
  13. Jovinnydinho

    Vipi naweza kupata kazi ya utingo kwenye roli?

    Mi nachokitafta ni uzoefu tu bos. Saiv napata day-worker kweny magali madogo ila makubwa sijawahi na ndo ndoto yangu. Hata kama dereva ataitaji nimlipe haina shida ilimrad nitimize lengo langu
Back
Top Bottom