Wanafunzi wapatao 2,397 wamepangiwa mikopo katika awamu ya pili ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/2019.
Idadi hiyo inafanya jumla ya Wanafunzi wa elimu ya juu wapatao 27,929 kati ya wanafunzi 40,000 wa mwaka wa kwanza kupangiwa mikopo hadi leo
Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa...
TCU naomba sana mlifuatilie...
Kuna suala limeibuka la baadhi ya vyuo kufanya confirmation bila ridhaa ya mwanafunzi husika. Jambo hili litasababisha kutokea kwa multiple confirmation na hivyo kupelekea baadhi ya majina kuchelewa kupelekwa bodi ya mikopo.
Nawasihi sana mlishughulikie suala...
Naomba kuuliza.....eti kwa system ya mwaka huu ya kutumia code kuconfirm,Tatizo la multiple confirmation linaweza kutokea au la? Na je chuo kinaweza kufanya confirmation badala ya mwanafunzi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.