Mbna umepoteza mda wako kukoment mambo ya ccm, nakushaur tu kama unamsimamo kweli haunahaja yakumaliza MB zako kufatilia updates za ccm jf, kuwa namsimamo bro usiwe kama mnafki vle
Kweli jamaa yangu yani CDM ni hawajielewi sjui wamerogwa Nanan hawa watu chama lote ujanjaujanja tu kuanzia Viongoz hadi wafuasi yote matja na muzangda tuu.... Ila awamu hii yatanyea debe Anko magu kiboko yenu... Ndo kwanza Pcha linaanza....
Nahuo ndo ukweli mbona akna dangote,billgates,caros slim wanaheshimu serikali zao Kwani hawa ni akina Nani? Najua hwawez amin saiv ila baadae wataamin tu.... Halafu mwenyenchi angekuwa kama wanavofikiria wao makonda angeshitakiwa lakini KWA magufuli hahaaaa... WAKAJIANDAEE
Mimi naamin hii nchi haijapata wapinzani wenyeuchungu nayo hata kidogo.....watu gan nyie hamna msimamoo? Dah inauma sana ama kweli bora ccm waendelee kulikokuwapa nchi watu kama nyinyi eeh MUNGU WASAMEHE....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.