Kutokana na takwimu za uchunguzi Wa sababu za ajali za barabarani swala LA viwango Vya ubora Wa barabara ni halipo na NDo maana madereva wameambiwa wakasome kwa kuwa imeonyesha kwmba uzembe wao ndo unaosababsha sana ajali za barabaran kwa zaid ya 40%
Sijaona kibaya apo alichofanya mh.raisi...yah anamajukumu mengi sana kama kiongozi Wa nchi ila pia kumbuken hata mpira una a half time ko sio mbaya ule muda Wa mapumziko akafanya KTU nafsi yake inachopenda sio kwmba muda wote anafanya kazi yeye sio kuli kumbukeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.