Recent content by JOSIA PATRICK

  1. J

    Nafasi ya JamiiForums katika kuwahudumia watoto wenye ulemavu wa akili

    Elimu ni muhimu sana haswa kwa jamii maana watu wanamtazamo tofauti sana kuhusu ulemavu
  2. J

    Nafasi ya JamiiForums katika kuwahudumia watoto wenye ulemavu wa akili

    Kumekuwa na mtazamo tofauti katika kuwahudumia Watoto wenye ulemavu wa akili ambapo jamii nyingi zimekuwa na mtizamo tofauti ambao sio mzuri ambapo huchangiwa sana na kukosa elimu. Ambapo hupelekea kuwanyanyasa na kuwatenga Watoto wenye ulemavu hupeleka hadi muda mwingine kuacha hata kuwapa...
  3. J

    SoC01 Umuhimu wa mazoezi na faida zake kwa watoto wenye changamoto ya ulemavu wa akili

    Ulemavu wa akili: Ni ile hali ya mtu kushindwa kutumia viungo vyake sawasawa na kushindwa kutumia akili yake sawasawa kutokana na athari ya ubongo wake.Sababu za ulemavu zinaweza kutokea katika nyakati kuu tatu ambazo ni. (a)Kabla ya Kuzaliwa. (b) Wakati wa kuzaliwa. (c) Baada ya kuzaliwa. (A)...
  4. J

    Jamii kuhusu watu wenye changamoto ya ulemavu wa akili

    Ulemavu ni nini!Ni hitilafu ya Kidumu ambayo inaweza kumkuta mtu yoyote yule awe mtu mzima au mtoto kwa nyakati tofauti ambapo inaweza kuwa wakati wa kuzaliwa kabla na baada ya kuzaliwa Walemavu ni kundi ambalo limetengwa sana na kusahaulika katika Jamii zetu ambapo watu wengi sana tumekuwa...
Back
Top Bottom