Recent content by Joshua Dereva

  1. Joshua Dereva

    JamiiForums Tanzania Nimejifanya sina sehemu ya kulala wala pesa, muhudumu wa basi kanikaribisha kwake

    Hii hadithi yako ina epsod ngapi niinunue ili niwe nawadanganyia wajukuu zangu! Naona umri unanikimbia ila stori za uongo sina za kudanganyia wajukuu! :o
  2. Joshua Dereva

    JamiiForums Tanzania Kwanini huwa tunalipia kodi ya pango la ardhi wakati ardhi tumeikuta ipo bure? Why?

    Ndugu mwana JF Ukitaka kujuwa serikali nini tokewa na mambo haya hapa. Shamba lako likibainika lina-Alimasi linakuwa mali ya Serikali. Ila shamba lako likibainika lina-Bangi hiyo ni mali yako mkuu! :D Naomba niishie hapa siwezi kuendelea hadi aje mwanasheria wangu!
Back
Top Bottom